Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 22, 2010

KARATE KUENZI MUUNGANO KWA MASHINDANO

Mashindano ya karate ya kuwania kombe la Muungano yataanza kuvurumishwa April 24 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Phlip Chikoko ni Mwenyekiti wa Chama cha mchezo wa karate Taifa, TASHOKA, amesema mashindano hayo yanafanyika kila mwaka na yanashirikisha wachezaji kutoka mikoa yote inayoshiriki mchezo huo.
Maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika ambapo washindi watajinyakulia zawadi mbali mbali vikombe medali.
Aidha amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kama wanavyojitokeza katika mashindano ya mpira wa miguu.

No comments :

Post a Comment