Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
SWAUMU WA UDP ACHUKUA FOMU INEC KUWANIA KITI CHA RAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU
2025
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa
kuwa Mg...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment