Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
BONDE LA OLDUVAI LILIVYOMTOA BINADAMU ANAYEPAMBANA NA MAISHA KARIAKOO
-
Mjua kwao hapotei njia, na mwenda pole hajikwai, unaweza ukafikiri utani
kumbe inaelekea ni hivyo wale wote wanaopambana Kariakoo, Gaza, Teheran na
kwin...
14 hours ago

No comments :
Post a Comment