Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAIS IKULU BAKARI MACHUMU AKUTANA NA WANABLOGU
NA WAZALISHAJI MAUDHUI MTANDAONI IKULU DAR
-
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw. Bakari Machumu akiwa na
viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Waandishi wa Habari wa
Mtandaoni, pa...
15 hours ago

No comments :
Post a Comment