Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
ZAHARA MICHUZI, ALIYEKUWA DED MEATU, IFAKARA NA GEITA AJITOSA MBIO ZA
UBUNGE VITI MAALUM UWT TABORA
-
Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa
serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha
ubunge wa V...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment