Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
WAHADZABE ANAPOFARIKI HUTELEKEZA MWILI KWENYE MJI WAKE NA KURUDI BAADA YA
SIKU 30
-
Na Hamis Dambaya na Kassim Nyaki, Ngorongoro.
Jamii ya kabila la Wahadzabe ina historia ya kuvutia katika kila nyanja ya
maisha yao, watalii mbalimbali ...
4 hours ago

No comments :
Post a Comment