Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
BALOZI MATINYI AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA SWEDEN, AELEZEA FURSA ZA UWEKEZAJI
-
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (katikati), akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Sweden
na...
1 hour ago

No comments :
Post a Comment