Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 24, 2013

Afande Sele kuachia albamu ya ‘Amani na Upendo’



Na Elizabeth John

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini ambaye anauwakilisha mkoa wa Morogoro, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ ameachia albamu yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Amani na Upendo’.

Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, alisema licha ya soko la mauzo ya albamu kusuasua hatojali mauzo mabaya kwakuwa lengo lake ni kuelimisha jamii na sio kupata maslahi.

“Sitofikilia soko kama litalipa au vipi ninachohitaji ni kuwapa elimu watanzania, mashabiki wategemee kununua albamu hiyo kwa bei rahisi,” alisema.

Alisema anaomba mashabiki waipokee vizuri kazi hiyo na kwamba ina jumla ya nyimbo 10 ambazo zote zimefanya vizuri katika soko hilo.

Afande sele alizitaja baadhi ya nyimbo ambazo zipo katika albamu hiyo kuwa ni Kingdom, Karibu Morogoro, Karata Dume na nyinginezo ambazo zinafanya vizuri katika soko hilo.

No comments :

Post a Comment