Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, May 8, 2013

WAREMBO WAJIFUA KUWANIA TAJI LA MISS KIBAHA MEI 17 KIBAHA KONTENA




 Mwalimu wa shoo ya pamoja ya warembo wanaowania kushiriki kinyang'anyiro cha kumsaka Miss Kibaha 2013, Bob Rich, akiwafua warembo hao wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika Ukumbi wa Vijana Kinondoni. Shindano hilo linatarajia kufanyika Mei 17 katika Ukumbi wa Kontena Kibaha.
 Warembo hao wakiwa katika picha ya pamoja yapozi wakati wa mazoezi yao.
Bob Rich, akiendelea kuwanoa warembo hao katika Ukumbi wa Vijana kinondnoni.

No comments :

Post a Comment