Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 27, 2013

GARI LAGONGA TRENI DAR MKE ALIYEKUWA AKINDESHA YUPO TAABANI MUME WAKE AFA PAPO HAPO



Wakazi wa Dar es Salaam wakingalia eneo ajali hiyo ilipotokea majira ya asubuhi leo.
 
Treni likiendelea na huduma zake likipita jirani na eneo lilipogongana na gari dogo aina Honda CRV jirani na Moshi Bar Dar es Salaam asubuhi leo. Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa ni mume wa dereva wa gari hilo alifariki papo kwa hapo. Mwanafunzi wa shule aliyejulikana kwa jina la Grace Samsoni alipata michubuko  wakati wa ajali hiyo alitibiwa na kuruhusiwa katika hospitali ya Amana.
 
Baadhi ya wakazi wa eneo la Moshi Bar karibu na Mombasa nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam wakiangalia kioo cha gari aina ya Honda CRV eneo ajali ilipotokea. 

Agnes Msoka aliyekuwa akiendesha gari lililogonga treni na kusababisha kifo akisubiri kufanyiwa upasuaji hospitalini.
 
Dereva wa gari liligonga Treni akiwa amelazwa ICU kwa matibabu.

Gari iliyogonga treni likiwa limeegeshwa Kituo cha Polisi Kikuu cha TAZARA Dar es Salaam.

Huyo ndo marehemu aliyefariki katika ajali hiyo.

No comments :

Post a Comment