Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 21, 2013

TIKETI ZA ELEKRONIKI KUANZA KUTUMIKA UWANJA WA TAIFA




 Sehemu ya umati wa wapenzi wa soka wakishuhudia mechi ya watani w3a jadi Yanga na Simba Jumamosi iliyopita, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)

SERIKALI imeandaa utaratibu wa kutumia tiketi za elektroniki kwa wapenzi wa soka watakaokuwa wanaingia kushuhudia mechi mbalimbali kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Akielezea bungeni leo, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amosi Makalla, alisema kuwa tiketi hizo zitaanza kutumika kwa majaribio  wakati wa mechi za kirafiki zinazotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Alisema kuwa matumizi ya tiketi za kieletroniki zitasaidia sana kudhibiti mapato kwenye Uwanja wa huo.

No comments :

Post a Comment