Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, May 22, 2013

SUMA MNAZARETI AHOJI 'TUPO WANGAPI'





Na Elizabeth John

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Suma Mnazareti amesema
anatarajia kuachia kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda
kwa jina la ‘Tupo wangapi’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Suma alisema katika kibao hicho
ameshirikiana na msanii nyota wa muziki huo kutoka katika kundi
la Tip Top Conection yenye maskani yake Manzese Dar es Salaam,
Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’.
“Unajua kila msanii ana mashabiki wake hivyo naamini kutokana
na kufanya kazi na msanii huyo ninaimani kibao changu
kitapokelewa vizuri na mashabiki wa tasnia ya muziki huo,”.
alisema Suma Mnazaleti.
“Nashukuru kazi zangu zinapokelewa vizuri na mashabiki kitu
ambacho kinaniongeza uwezo wa kuendelea kuandaa kazi nyingi
ili kuendelea kufurahisha jamii pamoja na kuelimisha kupitia fani
hii,” alisema.
Alisema amekuwa akiumiza kichwa kila siku kwa ajili ya
kutengeneza vitu vizuri vyenye ujumbe kwa jamii lengo lake likiwa

ni kutoka kimaisha kupitia muziki.

No comments :

Post a Comment