Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 27, 2013

DEO NJIKU ALIPOMSAMBALATISHA OMAR RAMADHANI MOROGORO



Bondia Deo Njiku kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Omari Ramadhani wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa Njiku alishinda kwa TKO ya raundi ya pili na kuwa bingwa mpya wa Taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' akiwepo kushudia mpambano huo uliofanyika Morogoro

Mabondia wa Utangulizi wakisafisha jukwaa kabla ya mtanange wenyewe

Chembu Upcat Kidevu lazima ukae ndivyo inavyo someka picha hii

Omari Ramadhani kushoto akipambana na Deo Njiku wakati wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa Taifa Njiku alishinda kwa TKO ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment