Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, May 25, 2013

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AMJULIA HALI SHEHA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI


RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AMJULIA HALI SHEHA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akimsikiliza, Sheha wa Shehia  ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja, Mohamed Saidi Kidevu,(kulia) aliyelazwa Hospitali ya Mnazi Mmoja mjini Zanzibar baada ya kumwagiwa Tindikali na Mtu asiyejuilikana huko maeneo ya Tomondo juzi wakati alipokuwa akirudi kuchota maji na kuelekea nyumbani kwake. Sheha huyo anaendelea kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Mnazi mmoja (wa pili kulia) ni  Kaka yake Sheha Sudu Mgeni Saidi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akimuangalia Sheha wa Shehia  ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja,Mohamed Saidi Kidevu,(kulia) jinsi alivyoathirika na Tindikali aliyomwagiwa na Mtu asiyejuilikanwa  huko Tomondo juzi wakati alipokuwa akirudi kuchota maji na kuelekea nyumbani kwake, wakati Rais alipomtembelea kumjulia hali Sheha huyo yupo katika Hospitali ya Mnazi mmoja .Kushoto Dkt.Slim Mohamed Mgeni. Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

No comments :

Post a Comment