Afisa
Utamaduni Jiji la Tanga, Peter Semfuko (katikati) ,Matron Hilda Mwinyi
(Kulia), na mratibu wa kamati ya maandalizi Kessy Salum Mbasha (Kushoto)
wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa fainali za taifa za Miss
Utalii Tanzania 2013, alipo kwenda kukagua kambi na kuzungumza na
warembo hao Jana katika hoteli ya Mwambani Tanga Beach.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment