Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 21, 2013

FLAVIANA MATATA ASHIRIKI MISA YA KUMBUKUMBU YA AJALI YA MV BUKOBA




 Flaviana Matata akiwasha mshumaa katika kaburi la Mama yake mzazi aliyefariki dunia katika ajali ya Meli ya Mv Bukoba, ikiwa ni miaka 17 tangu ilipotokea ajali hiyo ilipotokea. Flaviana aliwasha mshumaa huo ikiwa ni ishara ya kuomboleza akiungana na ndugu jamaa na marafiki waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo, ambapo shughuli hiyo imefanyika leo katika Makaburi ya Igoma, jijini Mwanza, walikozikwa baadhi ya marehemu waliopoteza maisha katika ajali hiyo.
 Flaviana Matata akishirikiana na ndugu, jamaa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali ya Meli ya MV Bukoba, wakiwasha mishumaa kwa pamoja ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka, wakati wa Ibada maalum ya kumbukumbu ya ajali hiyo.
 Flaviana Matata akiwa na Baba yake mzazi na ndugu, jamaa na marafiki katika Misa ya  maombelezo  Ajali ya MV Bukoba. Misa hiyo imefanyika leo, Igoma Jijini Mwanza.
Flaviana Matata akiwasili ofisini kwa Projest  Samson Kaija, ambaye ni General Manager wa Marine Services Company Ltd, ambao hushirikiana naye katika maombolezo ya Ajali hiyo ambapo mwaka jana aliwapa msaada wa maboya ya kuokolea maisha.

No comments :

Post a Comment