Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 3, 2014

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' HAPATA LESENI YA NGUMI


 Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini T.P.B.O Yassin Abdalla 'Ostadhi' kushoto akimkabidhi leseni ya ngumi bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' ambayo anaweza kutumiha Dunia nzima kwa ajili ya kutambulika kitaifa na kimataifa ambayo inaweka rekodi mbalimbali za bondia pindi anapocheza mchezo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini T.P.B.O Yassin Abdalla 'Ostadhi' kushoto akimkabidhi leseni ya ngumi pamoja na kitambulisho na nyaraka mbalimbali za bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kwa ajili ya shughuli zake lesini hiyo inayotumika kitaifa na kimataifa kwa ajili ya kuhifadhia kumbukumbu mbalimbali za michezo aliyo shiliki hafla ya makabidhiano hayo zimefanyika katika ofisi ya ngumi za kulipwa nchini jana  Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com
 Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto  akiwa na nyaraka mbalimbali alizo kabidhiwa na Rais wa TPBO Yassini Abdallah
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto  akiwa na nyaraka mbalimbali alizo kabidhiwa
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Ibrahimu Class 'King Class Mawe' amekabidhiwa leseni kwa ajili ya ngumi pamoja na kitambulisho na nyaraka mbalimbali za kumtambua kitaifa na kimataifa 
akizungumza wakati wa utoaji wa leseni kwa bondia huyo Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini Yassini Abdalla 'Ostadhi' amesema leseni ni jambo la muhimu sana kuwa nayo bondia kitu ambacho kila bondia anatakiwa kuwa nayo ambapo ndio hinaweka kumbukumbu yako ya mapambano yako yote uliocheza ndani na nje ya nchi kitaifa na kimataifa 
hivyo ni kitu muhimu sana leo hii natoa leseni kwa bondia Class kwa kuwa natambua kazi yake na uwezo wake akiwa katika uringo ambapo itamsaidia kwa ajili ya kazi yake kumbuka hii ni ajira hapa kajiajiri mwenyewe' mtaji wa masikini nui nguvu zake mwenyewe'
nae bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' alishukulu kwa kusema leseni itamuongezea chachu ya kupigana vizuri zaidi awapo uringoni kwani ngumi ndio mchezo anao upenda na ndio anaucheza hivyo atafanya jitiada ili aweze kufika mbali kupitia mchezo wa ngumi
bondia huyo anaenolewa na jopo la makocha kutoka kambi ya Ilala likiongozwa na Habibu Kinyogoli 'Masta'  Kondo Nassoro, Sako Mtulya na Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye ana msimamia katika mapambano yake mbalimbali na kumpatia ushauri  wa jinsi gani ya kupigana na watu anaokabiliana nao awapo uringoni

No comments :

Post a Comment