Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 5, 2014

HIVI NDIVYO MSAFARA ULIVYOKUWA WAKATI WA KUUPELEKA MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON UWANJA WA NDEGE KWAAJILI YA KUUSAFIRISHA NCHINI KENYA




 Msafara wa Magari ukiongozwa na Askari wa Usalama Barabarani atumiaye Pikipiki Ukikatiza eneo la Daraja la Salenda ukielekea Uwanja wa Ndege wa Mwl Julius Nyerere Kuupeleka Mwili wa Marehemu George Tyson kwaajili ya Kuusafirisha Nchini Kenya Kwa Mazishi.
 Msafara Ukikatiza barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuelekea uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere
 Ukikatiza katika Barabara ya Nyerere eneo la Gerezani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere
 Msafara ukiingia Uwanja wa Ndege Wa Mwl Nyerere sehemu ya Mizigo kwaajili ya Kuupeleka Mwili wa Marehemu George Tyson tayari kwa kuusafirisha Kuelekea Nchini Kenya.
 Baadhi ya Wadau walioambatana na Msafara uliopeleka Mwili wa Marehemu George Tyson Uwanja wa Ndege kwaajili ya Kusafirishwa Nchini Kenya wakibadilishana mawazo wakati wakisubiria taratibu za kuupokea Mwili huo eneo la Mizigo kukamilika.Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments :

Post a Comment