Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 5, 2014

WASHINDI WA FUA NA OMO UPAE KWENDA DUBAI WAPATIKANA MBEYA





Meneja uhusiano wa Unilever Tanzania Limited, Nicholaus John (kushoto) akimkabidhi mshindi wa saba wa promosheni ya 'Fua Upae kwenda Dubai' Mwasiti Bilali mfano wa tiketi ya kwenda Dubai mara baada ya kuibuka mshindi katika droo iliyochezeshwa mwishoni mwa wiki kwa wakazi wa jijini la Mbeya wanaotumia sabuni ya Omo.Hafla fupi ya makabhiano ilifanyika Beaco Hotel Mbeya jana. Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariam Migomba.


Meneja Mauzo Unilever Tanzania wa eneo la Mbeya Rajab Kondo (kushoto) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae', Marcko  j. Fihavango hundi fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariamu Migomba.Hafla fupi ya makabidhiano ilifanyika Beaco Hotel  jijini Mbeya  jana.

Meneja Mauzo Unilever Tanzania wa eneo la Mbeya Rajab Kondo (kushoto) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae', Marcko  j. Fihavango fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariamu Migomba.Hafla fupi ya makabidhiano ilifanyika Beaco Hotel  jijini Mbeya  jana.



Meneja uhusiano wa kampuni ya unilever Tanzania  Nicholaus John ametoa wito kwa wananchi na wateja wote wa mkoa wa Mbeya  kuichangamkia fursa hiyo ya kipekee na kuongeza kuwa zoezi hilo na promosheni hiyo ni la ukweli hivyo hawanabudi kuipokea kwa moyo wote kwani bado zawadi nyingi zitaendelea kutolewa kwa washindi huku kampuni hiyo ikijipanga zaidi kwa siku za baadaye kuja na promosheni nyingine tofauti tofauti zenye lengo la kurejesha shukurani kwa wateja.

Balozi wa Omo Tanzania, Mariamu akiongea na waandishi wa habari ambao hawapo pichani

No comments :

Post a Comment