Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 18, 2014

WARSHA YA TASAF ILIVYOZINDULIWA LEO NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS,MH.MOHAMMED ABOUD,ZANZIBAR


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, akifunguwa Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Tanzania, ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
 Mkurugenzi Uratibu wa Shughuliza Serekali Zanzibar, Ndg Issa Ibrahim Mahmoud, akitiwa maelezo ya Ufunguzi wa Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Tanzania unaotekelezwa na TASAF, uliofanyika katika ukumbib mdogo wa Baraza la Wawakilishi Chukwani. Kushoto kwake Mkurugenzi wa Program wa TASAF Ndg Amadius Kamagenge akifuatiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe Mohammed Aboud. Mohammed.



WASHIRIKI wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Zanzibar wakimsikiliza Mkurugenzi wa Program wa Tasaf Ndg. Amadius  Kamangenge, akitowa maelezo ya Mradi TASAF.wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo. Yaliofanyika katika ukumbi mdogo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Program wa TASAF Ndg Amadius Kamagenge, akitowa maelezo ya Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Ujenzi  ambayo pia itawanufaisha walengwa  wa mpango wa kunusuru kayacmasikini Tanzania.
Maofisa wa Mradi wa TASAF Tanzania wakifuatilia ufunguzi wa semina ya Utekelezaji wa Mradi Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Ujenzi  ambayo pia itawanufaisha walengwa  wa mpango wa kunusuru kayacmasikini Tanzania. Wakati Waziri Aboud akifungua semina hiyo katika ukumbi mdogo wa baraza la wawakilishi chukwani Zanzibar.
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Ndg. Ahmad Kassim, akitowa maelezo ya mafanikio ya Mradi wa Tasaf Zanzibar wakati wa ufunguzi wa Warsha ya kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Mradi wa (PWP) .
Maafisa wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania TASAF,kutoka kushoto Ndg. Abass Saleh, Bi .Mary Kiula na Ndg. Geofrey Nyamwihula, wakijadiliana jambo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Tanzania
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Tanzania, ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, akiwa katika picha na Maofisa wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) baada ya ufunguzi wa  Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini Tanzania, ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

No comments :

Post a Comment