Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 10, 2014

TBL YAWAPATIA WAKULIMA ELIMU YA UZALISHAJI BORA WA ZAO LA SHAYIRI





 Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.


 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha shayiri katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
 Meneja wa Shayiri wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) D.. Bennie Basson akizungumza na wakulima wa shayiri ktk kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.

 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima wa shayiri chati ya matumizi ya mbolea na viuatilifu vinavyoweza kuongeza mavuno ya shayiri katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.
 Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson, akiwaonesha magugu ambayo ni hatari kwa zao la shayiri  alipowatembelea wakulima wa zao hilo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.
 Mtafiti wa zao la shayiri Geremia Mremi kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akitoa elimu juu ya mbegu bora zilizothibitishwa kutoka TBL alipowatembelea wakulima wa zao hilo katika Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha juzi. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinazozalishwa na kampuni hiyo.

No comments :

Post a Comment