Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 30, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MWANANYAMALA NDANI YA MFUNGO WA RAMADHANI


Bondia JuliasKisarawe kushoto akipambana na Patrick Nne wakati wa mchezo wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kisarawe alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mwinyi Mzengela  kushoto akimtupia konde la kushoto bondia Georege Manywele wakati wa mpambano wao wa kumaliza ubishi uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala mwishoni mwa wiki iliyopita Mzengela alishinda kwa K,O ya raundi ya nne picha na 
Bondia Josepher Mbowe akipambana na Mfaume Alkaida wakati wa mpambano wao mbowe alishinda katika raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment