Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 29, 2014

NGUMI ZILIVYPIGWA MANZESE KATIKA UKUMBI WA KOBELO PUB



Bondia Mohamed Mussa kushoto akipambana na Shomary Punzi wakati wa mchezo wao uliofanyika katika ukumbi wa Kobelo Pub Manzese Dar es salaam Punzi alishinda kwa point Mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mvukeni, Muhidini Kassimu kulia akimkabizi kiongozi wa mabondia, Ramadhanu Uhadi pesa kwa ajili ya mabondia kununua maji wakati wa mashindano yaliyofanyika katika ukumbi wa Kobelo Pub
Bondia Omary Gumbo kushoto akimrushia konde Japhert Pascar wakati wa mchezo wao uliofanyika katika ukumbi wa Kobelo manzese Gumbo alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa Sertikali ya Mtaa wa Mvuleni, Muhidini Kassimu akiwapatia zawadi mabondia Omary Gumbo na Japhert Pascar

Bondia Shomari Punzi kushoto akipambana na Mohamed Mussa wakati wa Mpambano wao Punzi alishinda mpambano huo kwa point picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment