Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 30, 2014

dj films company kutoa filamu mbili mpya


Na Mwandishi Wetu


David Jastin
KIKUNDI cha filamu nchini kimezinduliwa kwa ajili ya kuendeleza na kuibua vipaji vipya katika tasinia hiyo kundi hilo lililoweka makazi yake Mbezi beach jijini Dar es salaam linaongozwa na David Jastin limepewa jina la dj films company

kampuni hiyo inayohusika na utengenezaji wa filamu mbalimbali nchini linatarajia kutoa kazi yake mpya hivi karibuni itakayokwenda kwa jina la Dunia aina siri itakayotoka hivi karibuni

wakati wa uzinduzi wa kundi hilo walimtambulisha rasmi meneja wa kundi anaejulikana kwa jina las Paul Marandu ambaye atakuwa ana husika na kazi mbalimbali za kampuni hiyo pamoja na kundi lake

Jastin aliongeza kwa kusema wameanzisha kundi hilo kwa lengo moja tu kuja kuwainua vijana chipkizi na kuendeleza wale wanaofanya vizuri zaidi 

kundi hili limeshafanya kazi mbalimbali ambazo zipo mtaani kwa sasa  kama Opportunity Love,Binadamu kigeugeu na nyingine nyingi zikiwashilikisha wasanii mbalimbali kama

WastaraJuma,Ndumbagwe Misajo,Chales Magari na wasanii mbalimbali wanaotamba katika anga ya sanaa kwa sasawasanii wa kundi la dj films company

No comments :

Post a Comment