Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 27, 2014

MKUTANO MKUU WA CUF WACHAGUA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UONGOZI WA TAIFA



Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif, akitumbukiza kura yake kuchagua wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Uongozi, Kanda ya Mashariki uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF, wakifuatilia mkutano huo.
Baadhio ya wagombea wa nafasi ya ujumbe katika Mkutano mkuu wa CUF Taifa, wakijiandaa kuomba kura. 
Vijana wa Uhamasishaji wa Chama cha CUF, wakitoa burudani wakati wa Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, jana.

No comments :

Post a Comment