Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 8, 2014

PIGO JINGINE KWA TASNIA YA FILAMU TANZANIA, MZEE SMALL AFARIKI DUNIA



Ni pigo jingine tena kwenye tasnia ya maigizo (filamu) hapa nchini kwani mwigizaji na mchekeshaji mkongwe, Saidi Ngamba maarufu kama Mzee Small amefariki usiku wa kuamkia leo majira ya saa nne usiku katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.
Kifo chake kimethibitishwa na mwane, Mohamed na msiba utakuwepo nyumbani kwa marehemu Tabata, Jijini Dar es Salaam.
Timu nzima ya SULE'S INC. na Blog ya MTOTO WA KITAA tunatoa pole kwa familia, wasanii na taifa kwa jumla kwa kufikwa na msiba huu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepooni aamin.
(INNA LILLHAI WA INNA ILAIHI RAAJIUN)

No comments :

Post a Comment