Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 7, 2014

NGUMI ZILIPOPIGWA JANA KAWE DAR ES SALAAM


Bondia Stivin Kobelo kushoto akipambana na Amani Abbas wakati wa mpambano wao uliofanyika jana Kawe Dar es salaam Kobelo alishinda kwa point mchezo uho picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ezekiek Gordon kulia akipambana na Jumanne Njopeka wakati wa mpambano wao wa kukata na shoka uliofanyika Kawe jijini Dar es salaam jana na kushudiwa na mashabiki lukuki kutoka kawe pamoja na maeneo ya jirani Gordon alishinda kwa point mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ezekiek Gordon kushoto akipambana na Jumanne Njopeka wakati wa mpambano wao wa kukata na shoka uliofanyika Kawe jijini Dar es salaam jana Gordon alishinda kwa point mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment