Mmoja wa wanachama wa Asasi ya Vijana ya St. Camilus inayojihusisha na utoaji wa elimu kuhusu VVU na Ukimwi kwa vijana kupitia sanaa mbalimbali Bi. Aquila Mawenya akisoma taarifa ya utendaji kazi wa asasi hiyo kwa Mwenyekiti wa wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Dkt. Fatma Mrisho alipokutana na wanachama wa Asasi hiyo Kiwalani jijini Dar es salaam.
WAZIRI KOMBO AINADI DIRA YA ZANZIBAR KUWA KITOVU BORA CHA KIFEDHA AFRIKA
MASHARIKI JIJINI LONDON
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo, ameinadi dira ya Tanzania ya kuifanya Zanzibar kuwa
kitovu b...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment