Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, April 23, 2012

'Lulu' atinga Kortini Kisutu Leo



Mshtakiwa Elizabeth Michael |(17), ' Lulu'  (mwenye nguo nyekundu, )akiteremka ngazi huku akiwa chini ya ulinzi mkali baada ya kupandishwa Kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo Aprili 23.2012 ambapo kesi hiyo  ilikuja kwa ajili ya kutajwa.  Kwa mujibu wa Wakili wa Serikali, Elizabeth Kaganda mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Rita Tarimo  ni kuwa upelelezi bado haujakamilika na mtuhumiwa kurudishwa rumande hadi Mei 07 mwaka huu itakapotajwa tena. PICHA/DAILY MITIKASI BLOG

No comments :

Post a Comment