Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 15, 2012

Hissani Muya atoka na filamu ya Gongolamboto Usiku wa hekaheka







Na Mwandishi Wetu

MSANII Wa Filamu NChini Hissani Muya ametoka na filamu yenye msisimko wa kweri iliyohusisha mlipuko wa mabomu ya Gongolamboto Usiku wa hekaheka ndio jina la filamu hiyo akizungumzia kuusu filamu hiyo Muya alisema filamu hiyo yenye huondo wa aina yake si ya kukosa kwa kuwa kuna kila kitu cha kufandisha

Mimi sio mtu wa kukurupuka ndio mana kabla sijatoa kitu nakaa na kujiuliza nitoke vipi filamu hiyo yenye ujumbe madhubuti kwa watanzania ni nzuri na si yakukosa

Aliongeza kwa kusema filamu hiyo kwa sasa ipo madukani na inasambazwa na Kampuni ya Steps Entatainment ya jijini Dar es salaam

No comments :

Post a Comment