Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Tuesday, April 17, 2012
Rais akutana na Viongozi waliosimamia zao la karafuu Wete Pemba
Jumla ya shs Billioni 71 wamejipatia Wakulima wa Zao la Karafuu Kisiwani Pemba baada ya kuliuzia Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar (ZSTC) Karafuu zao zao katika msimu wa Karafuu unaotarajiwa kumalizika hivi karibuni.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Braza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein ameyaeleza hayo leo hapo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi alipokuwa akitowa shukrani kwa Viongozi mbali mbali wa Mkoa huo wakiwamo vikosi vya ulinzi vya Polisi, JKU,KMKM,,ZIMAMOTO,VALANTIA, MAFUNZO,MASHEHA, WANANCHI NA KIKOSI KAZI CHA TAIFA CHA USIMAMIZI WA ZAO LA KARAFUU ZANZIBAR.
Amesema kuwa kiasi hicho cha Fedha kimo mikononi mwa Wananchi ambapo kwa kiasi kikubwa zinaweza kuwasaidia sana katika maendeleo yao.
Dkt Shein amefurahishwa na juhudi mbali mbali mbali za Maendleo zinazochukuliwa na Wakulima kwa kuweza kujenga Nyumba za Kisasa baada yakupata Fedha hizo za Karafuu ambapo pia amewataka kuchukuwa kila juhudi yakusafisha Mashamba yao na kupanda Mikarafuu mipya.
Aidha Dkt Shein amefurahishwa na juhudi ya pamoja ziliochukuliwa na Viongozi mbali mbali, Wananchi, Masheha pamoja na Vikosi vya Ulinzi katika kuhakikisha kuwa msimu huu zao la Karafuu halitoroshwi kwa njia ya Magendo.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment