Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (kulia) akibadilishana mawazo na Balozi wa Finland nchini, Antila Sinikka, wakati alipotembelea Ofisi za Bunge, mjini Dodoma jana. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
KAMPUNI YA ALGERIA KUWEKEZA VIWANDA VYA KOROSHO TANZANIA
-
.
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia
kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili
kuongez...
1 day ago
No comments :
Post a Comment