Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 22, 2012

Safari Lager yaendesha Semina ya mafunzo ya Ujasiliamali jijini Dar




Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Masudi Kandoro (kushoto) akifafanua jambo wakati wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya Johanasbarg Sinza jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Rahel Emanuel(kulia) akifafanua jambo wakati wa semina  ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya  Johanasbarg  Sinza jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Kelvin Muganyizi akifafanua jambo kutoka kwenye picha wakati wa semina  ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya Johanasbarg Sinza jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali wakisikiliza mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji yanayoendeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lagerwakati wa semina inayoendelea katika Hoteli ya Johanasburg Sinza jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa wa wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakati mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji yanayoendeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lagerwakati wa semina inayoendelea katika Hoteli ya  Johanasbarg  Sinza jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment