Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 29, 2012

TIGO YAZAMINI MAADHIMISHO YA SIKU YA TAALUMA VYUO VIKUU MAKUMBUSHO


Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Leon Haule (kulia) akitoa maelezo kwa mgeni rasmi kuhusu umuhimu wa Social Protection wakati wa maadhimisho ya siku ya Taaluma kwa Vyuo vikuu liliyofanyika Makumbusho ya Taifa kwa udhamini wa Tigo
Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Josephine Douglas(kulia) akitoa maelezo kwa mgeni rasmi kuhusu umuhimu wa Social Protection wakati wa maadhimisho ya siku ya Taaluma kwa Vyuo vikuu liliyofanyika Makumbusho ya Taifa kwa udhamini wa Tigo

Mwenekiti wa Bodi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Charles Nyoni (katikati) akikata utepe wakazi wa ziara ya kuzungukia vibanda vya maonyesho wakati wa maadhimisho ya siku ya Taaluma kwa Vyuo vikuu liliyofanyika Makumbusho ya Taifa kwa udhamini wa Tigo.Kushoto ni Mkuu wa Chuo cha IFM, Profesa Mjema na Mwanafunzi wa Chuo hicho, Dorthea Msofe.

No comments :

Post a Comment