Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 26, 2012

FATMA 'MCHARUKO' wa JAHAZI kurudi tena Stejini baada ya matibabu!


Fatma 'Mcharuko' akipagawisha mashabiki wa Taarab
 Mwimbaji Chipukizi wa Jahazi Mordern Taarab anayefanya vizuri ktk muziki wa Taarab Fatma Mahmoud 'Mcharuko' anatarajiwa kurudi jukwaani tena na kuwapa ile burudani wadau wameikosa kwa muda mrefu takribani mwezi sasa baada ya kupumzishwa kutokana na matatizo ya kuanguka anguka mara kwa mara

Mama wa Mcharuko alirudishwa kwao Zanzibar kwa matibabu tangu tarehe 23 mwezi March na kwa mujibu wa Mkurugenzi Fatma anaendelea vizuri sasa na hivi karibuni anatarajiwa kurudi kundini kuliendeleza libeneke.....
Fatma Kassim akak 'Mcharuko' kwa sasa anatamba sana na kibao chake cha "Mtaniona hivi hivi" na awali aliimba kile cha "Mfa Maji"
Wadau tumuombee apone haraka!

No comments :

Post a Comment