Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 24, 2012

SHIRIKA LA NYUMBA NHC LAZINDUA UUZAJI WA NYUMBA ZA MCHIKICHI ILALA



Mkurugenzi wa biashara na maendeleo ya shirika la nyumba (NHC) Bw. David Misonge (katikati) akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa uuzwaji wa nyumba katika mradi wake mpya  wa mchikichi Ilala jijini Dar es Salaam na ujenzi wa nyumba hizo ambazo zipo nyumba (48) unatarajia kukamilika rasmi February 2013. 
Amesema nyumba hizo zenye vyumba vitatu kwa kila nyumba chumba kimoja cha kulala cha kujitegemea na vyumba viwili vinavyotumia choo kwa pamoja na alisema kila nyumba itauzwa kwa shilingi,168,239,748.62 (bila vat) wakwanza kushoto ni Bw. Itandula Gambalagi ambaye ni meneja masoko na utafiti na wa kwanza kulia ni Bw. William Genya  Meneja Mauzo katika Shirika hilo.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE).
Baadhi  ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali waliohudhuria katika mkutano huo wakiwa kazini kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam leo.

No comments :

Post a Comment