Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 18, 2012

KATIBA MPYA YAWAKOROGA WAZANZIBARI, Hawataki kusikia mchakato unaoendelea, Wanataka waulizwe kwanza muungano halafu ndo katiba.



Wafuasi wa Taasisi ya kidini ya Uamsho wakinyoosha mikono kukubaliana na kauli za viongozi wao kwamba zanzibar inakatiba yake na hawataki katiba ya muungano badala yake waulizwe kwanza kama wanautaka muungano au hawautaki?

Sheikh Khalid Hamdani akiwahutubia wafuasi wa kundi hilo la kidini ambalo halijipambanui kwenye mrengo wowote wa kisiasa lakini wanakutana kwenye umoja wakiimani ya dini nakudai hawatakubali zoezi lolote la kura ya maoni visiwani humo vyenginevyo hata damu zawatu zitamwagika kama watawapuuza.

Mlinzi wa kikundi cha Uamsho akilinda mkutano huku akiwa amevaa fulana yenye maandishi “Wazanzibari Katiba tunayo, kilichobaki ni kuvunja muungano Zanzibar huru inawezekana”. Mkutano huo ulifanyika mwisho wa wiki katika uwanja wa Mbweni mkabala na jingo la Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar.

jisomee mwenyewe utajua yaliyomo mioyoni mwao.

No comments :

Post a Comment