Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 24, 2012

Rais wa Zanzibar apiga picha kitambulisho cha Mtanzania



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiwa katika ukumbi
wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi kushiriki katika zoezi ya upigaji wa
picha za vitambulisho vya Taifa,hapo jana sambamba  na utiaji saini
fomu maalum na kuweka  alama za vidole,ikiwa ni utaratibu  wa
ukamilishaji wa zoezi hilo,(aliyesimama) Mkurugenzi wa Vitambulisho
vya Taifa Zanzibar Bw,Vuai Mussa Suleiman.  [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,(katikati)  akiweka  alama za vidole,baada ya kupiga
picha za vitambulisho vya Taifa,sambamba utiaji saini fomu za
ukamilishaji wa zoezi hilo,zoezi hilo lilifanyika jana katika ukumbi
wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi mmoja Mjini Unguja,(kushoto)
Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa Zanzibar Bw,Vuai Mussa
Suleiman,(kulia) Mathayo Msungu,NIDA.  [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.

No comments :

Post a Comment