Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 15, 2012

Issa Mussa 'Cloud' atoka na SAMANTHA





Na Mwandishi Wetu

MSANII Mkongwe katika fani ya sanaa ya maigizi Issa Mussa 'Cloud' ameibuka na filamu mpya itakayokwenda kwa jina la Samantha.

Akizungumza na safu hii msanii huyo alisema filamu hiyo ya aina yake inayoeleze mambo ya familia katika jamii inayotuzunguka ambapo matokeo mabaya yaliyomkuta familia ya Bwana Suwedi yamempelekea mshituko mkubwa kwa jamaa,majirani na Jamii yote kwa ujumla Lakini ni nini hasa chanzo cha maafa hayo na ni nini alitekeleza unyama huo

Fatilia katika filamu hiyo aliowashirikisha waingiozaji Elizabeth Swinny, Suleimani Said, Mariam Ismail na wengine wengi katika filamu hiyo itakayosambazwa na Kampuni ya Steps ya jijini Dar es salaam

No comments :

Post a Comment