Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 17, 2012

MISS UKONGA WAANZA KUJIFUA KUMSAKA MKALI WAO WA 2012

Warembo wanaotarajia kupanda jukwaa kuwania taji la Miss Ukonga 2012, wakiwa katika pozi la picha ya pamoja katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Banana jijini Dar es Salaam. Kitongoji cha Ukonga ndio kitafungua pazia la Mashindano ya Miss Tanzania mwaka huu. Picha zote na Father Kidevu
Washiriki wa shindano la Miss Ukonga wakimsikiliza mkufunzi wao Jaquline Chua akiwapa nasaha na kuwafundisha jinsi ya kujiamini wawapo jukwani.
Mazoezo ya dansi yakiendelea.
Songi la Kihindi.....
Warembo wakifanya mazoezi ya kucheza mziki wa ufunguzi wa show yao. hakika warembo hawa ni wajuzi.
Baadhi ya warembo wakimwangalia mwezao aliyekuwa akifanya mazoezi ya kutembea

No comments :

Post a Comment