Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, June 7, 2012

AFA KWA KUNASWA NA UMEME AKIFAGIA



Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mfanyakazi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),  marehemu Upendo Mdegela akitoa heshima za mwisho katika Hospitali ya Muhimbili kabla ya mazishi yaliyofanyika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam juzi. Upendo alikufa baada  ya kunaswa na umeme alipokuwa akifanya usafi nyumbani kwake Mwananyamala Kisiwani. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

No comments :

Post a Comment