Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 22, 2012

WANAFUNZI WA MUHIMBILI WACHANGIA DAMU KATIKA MPANGO WA DAMU SALAMA



Mtaalamu wa Maabara kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama Eliza Mgaya, akiweka vizuri mfuko wa damu kutoka kwa mwanafunzi wa Chuo Cha Afya Muhimbili Paul Boniface, ambaye ameshiriki kwenye zoezi la kujitolea damu linaloenda sambamba na upimaji wa bure wa magonjwa mbalimbali, linaloratibiwa na Wanafunzi wanao hitimu mafunzo ya Maabara kwenye Chuo cha Maabara Muhimbili
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakijiorodhesha Hospitali ya taifa Muhimbili ili kuweza kupata huduma za bure za kupima afya zao, zoezi hilo linaratibiwa na wanafunzi wa maabara wanao maliza kwenye chuo cha maabara cha Muhimbili.
Wanafunzi wanaohitimu ngazi za Astashada na Stashahada za Maabara kwenye Chuo cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambao ndio walioandaa zoezi la upimaji afya linaloendelea hapa Muhimbili wakifuatilia hotuba mbalimbali kwenye hafla yao ya kuhitimu masomo ambapo wanaelekea kuhitimisha masomo hayo.

No comments :

Post a Comment