![]() |
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta akisakama jukwaa kama vilivyo mjini Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure. |
Monday, June 25, 2012
FID Q NA WENZAKE WAFUNIKA KWENYE TAMASHA LA WAJANJA WA VODA COM MOROGORO
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment