![]() |
| Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta akisakama jukwaa kama vilivyo mjini Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure. |
MSIGWA: SERIKALI AWAMU YA SITA INATHAMINI MCHANGO WA WAANDISHI MTANDAONI
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari nchini Tanzania Gerson Msigwa.
Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kulea na
kuwawezesha wa...
5 hours ago





No comments :
Post a Comment