![]() |
| Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta akisakama jukwaa kama vilivyo mjini Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure. |
ELIMU SHIRIKISHI NA UHIFADHI WA UTALII YATOLEWA MASHULENI
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya
uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utalii wa ndani kwe...
40 minutes ago





No comments :
Post a Comment