Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 23, 2012

MGEJA, LIANA, YAMUNGU NA WENGINE WENGI WAHUDHURIA AMAZISHI YA MPENDWA WILLY EDWARD SERENGETI LEO



Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Willy Edward mda mfupi kabla ya maziko nyumbani kwa marehemu Molotongo, Mugumu, Serengeti
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacquline Liana akitoa heshima za mwisho
 Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, James Yamungu akiaga mwili wa marehemu Willy Edward
Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu Willy Edward
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Absalom Kibanda akiwaongoza wahariri kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa mhariri mwenzao marehemu Willy Rdward
Mjane wa marehemu Willy Edward, Rehema, akimbusu mumewe alipokuwa akiaga muda mfupi kabla ya mazishi
Mzee Edward Ogunde, baba mzazi wa marehemu Willy Edward akilia wakati wa kuuaga mwili wa mwanawe

No comments :

Post a Comment