Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 29, 2012

KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR LEO



Baadhi ya maofisa mbalimbali na wananchi wakiwa katika Baraza la Wawakilishi wakisikiliza Hotuba na Michango mbalimbali inayotolewa na Wajumbe wa Baraza hilo.
 
Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu mwenye kitabu akibadilishana mawazo na mwananchi ambae alienda kumuona huko katika Baraza la Wawakilishi nje ya mji wa Zanzibar.
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments :

Post a Comment