Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
13 hours ago

No comments :
Post a Comment