Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment