Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
MSIGWA: SERIKALI AWAMU YA SITA INATHAMINI MCHANGO WA WAANDISHI MTANDAONI
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari nchini Tanzania Gerson Msigwa.
Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kulea na
kuwawezesha wa...
5 hours ago

No comments :
Post a Comment