Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 26, 2012

SEMINA YA KUIMARISHA UHUSIANO BAINA YA WANASIASANA WATENDAJI KTK SERIKALI ZA MITAA ZANZIBAR



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame,alipowasili
katika viwanja vya Zanzibar Beach Resort,alipohudhuria katika semina
ya siku mbili ya kuimarisha Uhusiano baina ya Wanasiasa na Watendaji
wa Serikali za Mitaa Zanzibar,akiwa Mwenyekiti wa Semina hiyo
iliyoanza Leo. [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Maalim Seif Sharif Hamad,alipowasili katika viwanja vya Zanzibar Beach
Resort,alipohudhuria katika semina ya siku mbili ya Uongozi ya
Viongozi  wa Serikali za Mitaa Zanzibar,akiwa ni Mwenyekiti wa Semina
hiyo iliyoanza Leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akifungua semina ya siku
mbili kuhusu kuimarisha Uhusiano Baina ya Wanasiasa na Watendaji
katika Serikali za Mitaa Zanzibar,katika ukumbi wa Zanzibar Beach
Resort,nje ya Mji wa Unguja leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Baadhi ya Madiwani na Masheha wa Shehia mbali mbali za
Unguja,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa hutuba ya ufunguzi wa
semina ya siku mbili juu ya Kuimarisha Uhusiano baina ya Wanasiasa na
Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo, katika
Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,Nje ya Mji wa Unguja.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
Sheha wa Shehia ya Ubago,Wilaya ya Kati Unguja,Mkoa wa
Kusini Unguja,Bibi Asha Abeid Suba,akichagia suala la Maji wakati wa
Semina ya siku mbili,juu ya Kuimarisha Uhusino baina ya Wanasiasa na
Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo katika
Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja.
                     [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments :

Post a Comment