Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 22, 2012

MATUKIO BUNGENI DODOMA



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (kushoto) na Mbunge wa Same Mashariki, Anna Kilango Malecela kwenye  viwanja  vya Bunge Mjini Dodoma, Juni 22, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mbunge  Bumbuli, January Makamba (katikati)  na Mbunge wa Singida, Mohamed Dewji (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 22, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (kushoto)  na Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 22, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa  Simanjiro, Christopher Ole- Sendeka (kushoto) na Mbunge wa Gando,  Khalifa Suleiman Kahlifa  (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini  Dodoma Juni 22,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment