Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 29, 2012

MASANJA NA WAKUVANGA WA KUNZI NZIMA LA ORINGINAL COMEDY KUPAMBA TAMASHHA LA TIGO COCO BEACH KESHO


.

Msanii wa vichekesho wa kundi la Kome ZE KOMEDI nchni Tanzania Isaya Mwakilasa (Wakuvwanga) akitoa burudani ya kuchekesha mbele ya waandishi wa habari wakati wa kutangaza tamasha la Uzinduzi wa maonyesho ya sabasaba yatakayofanywa na kampuni ya Tigo kwenye Viwanja vya Coco Beach kuanzia kesho Jumamosi hadi July 1 mwaka huu, kulia ni Afisa habari wa Kampuni hiyo Alice Maro na kushoto ni Mtaalamu wa Promosheni Mahusiano na Udhamini wa kampuni hiyo.

Mtaalamu wa Promosheni, Mahusiano na Udhamini wa kampuni ya tigo Edward Shila, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu bonanza la uzinduzi wa maonyesho ya sabasaba litakalofanyika kwenye Viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaa.

No comments :

Post a Comment