Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 22, 2012

PPRA YASIMAMISHA MAKAMPUNI 34



Mkurugenzi Mtendaji wa (PPRA) Dr. Ramadhan Mlinga akiongea na waandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dar es salaam juu ya kufungiwa kwa makampuni 34 kutoshiriki kwenye zabuni za Taasisi kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia leo, baada ya kushindwa kutekeleza mikataba yao na Tasisi husika na hivyo kusimamishwa kutekeleza mikataba hiyo.
Mwandishi wa habari wa Times Fm Bw. Adam Hussein(kulia) akimuuliza swali Mkurugenzi Mtendaji wa (PPRA)Dr. Ramadhan Mlinga katika mkutano huo.

(PICHA NA PHILEMON WA FULLSHANGWE SOLOMON)

No comments :

Post a Comment