Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 23, 2012

MABABA WA CHEKA NA KASEBA WATAMBIANA



Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka kulia akiwa amemkunja baba mzazi wa Japhert Kaseba, Josepher Kaseba wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuzungumzia mpambanbo wa watoto wao utakaofanyika siku ya sabasaba katika uwanja mpya wa Taifa. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka kushoto akizungumzxa na waandishi wa habari Dar es salaam lkeo kuusu mpambano wa mwanae utakaofanyika siku ya sabasaba kulia ni
Baba wa bondia Japhert Kaseba, Josepher Kaseba wa pili kushoto ni meneja matukio wa Dar Live na Promota wa Mpambano huo Kaike Silaju.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baba wa bondia Japhert Kaseba, Josepher Kaseba kushoto akipeana mkono na Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka wakati walipokuwa wakizungumza na waandishi wa Habari Dar es salaam leo kwa ajili ya kutangaza mpambano wa watoto waoi utakaofanyika siku ya Saba saba.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment