Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 26, 2012

Mama Salma atembelea kituo cha yatima SOS Mwenge

 

 


 Mama Salma Kikwete akipaka rangi katika kituo cha kulelea watoto cha SOS kilichopo Mwenge jijini Dar es salaam.
Kutoka kushoto  Dilip Musale(left), Dr.Alex Lengeju wakishuhdia wakati Mama Salma Kikwete na  mtoto yatima Innocent Suta wakikata keki  wakati Mama Salma Kikwete alipotembelea katika kituo cha kulelela watoto cha  SOS kilichopo Mwenge jijini Dar es salaam, Mtoto Innocent Suta ni mtoto mwenye kipaji kutoka katika kituo hicho na amepata nafasi ya kwenda kusoma nchini Ghana.

Kampuni ya Sadolin imejitolea kupaka rangi vijiji vyote vya kulelea watoto yatima nchini Tanzania
 Mama Salma Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Sadolin nchini ambao walijitolea kupaka rangi vijiji vyote vya watoto yatima hapa nchini.
 Mama Salma kikwete akimlisha keki mtoto mwenye kipaji maalum Innocent Suta kutoka kijiji cha watoto yatima SOS anaekwenda kusoma huko Ghana
Mama Salma Kikwete akimwagili mti alioupanda katika kituo hicho wakati alipotembelea kituoni hapo hivi karibuni.

No comments :

Post a Comment