Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badwel (CCM), akisindikizwa na
askari polisi kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo,
baada ya kusomewawa mashitaka akituhumiwa kushawishi na kupokea rushwa
ya sh. milioni 1. Kesi hiyo imehairishwa hadi juni 18 mwaka huu. (PICHA
NA PHILEMON SOLOMON)
NGORONGORO YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAONGOZA WATALII (THE BIRTH OF WONDERS
PHOTO COMPETITION)
-
Mabadiliko makubwa katika ushirikishwaji wadau wa sekta ya utalii
yameibuliwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ikianza mwanzo wa safari
mpya ya simu...
20 hours ago

No comments :
Post a Comment