Baazi ya wananchi wakifatiria burudani za bure katika uwanja wa wazi
toka kampuni ya Tigo iliwapatia wateja burudani kutoka kwa mwanamuzik
H.Baba.
Pia wateja walipata fursa ya kupata huduma mbalimbali kutoka kwenye
vibanda vya Tigo vilivyopatikana viwanjani hapo. Zawadi kama T-shirt za
Tigo, simu na kofia zilitolewa katika tamasha hilo.
Msanii H Baba akiwashindanisha watoto kucheza kiduku ambapo mshindi arimpatia furana ya tigo
WAUMINI TAG GOBA WATAKIWA KUISHI MAISHA YASIYYO NA HOFU
-
Mchungaji Mteule wa Kanisa la Kingdom Impact Christian Centre(TAG) Goba,
Dkt. Jonathan Chales Ndanshau amewataka waumini wa Kanisa hilo waishi
katika mai...
4 days ago
No comments :
Post a Comment