Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 24, 2012

BIN ZUBEIRY YASHINDA TUZO YA COPA COCA COLA 2012


Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma ya Coca Cola Kwanza, Evans Mlelwa (kulia), akimkabidhi Mahmoud Zubeiry aka BIN ZUBEIRY wa bongostaz.blogspot.com (kushoto) mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 2, baada ya kushinda tuzo ya Mwandishi bora wa blogs wa mashindano ya Copa Coca Cola. Wengine katikati ni Meneja wa Sprite, Warda Kimaro na Katibu wa TASWA, Amir Mhando.

 KAMPUNI ya Coca Cola Kwanza, leo imewapa tuzo Waandishi watano wa Habari nchini, baada ya kuibuka vinara katika tuzo za Waandishi Bora wa mashindano ya soka ya vijana kwa umri chini ya miaka 17, Copa Coca Cola yaliyofanyika Julai mwaka huu.
Upande wa Blogs, bongostaz.blogspot.com ya BIN ZUBEIRY imeibuka kinara na kuzawadiwa Sh, Milioni 2 sawa na washindi wengine, upande wa Televisheni, Jimmy Tara wa ITV, Radio, Amry Masare wa Radio One, Magazeti, Japhet Kazenga wa Daily News na Mpiga Picha, Mohamed Mambo wa Habari Leo.
Tuzo hizo zilitolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma wa Coca Cola Kwanza, Evans Mlelwa, makao makuu wa kampuni hiyo ya vinywaji baridi, Mikocheni, Dar es Salaam.
Mchakato wa kutafuta washindi uliendeshwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambacho leo kiliwakilishwa  na Katibu wake, Amir Mhando.
Baadhi ya Waandishi waliohudhuria wakiwa kazini

BIN ZUBEIRY anapokea mzigo

BIN ZUBEIRY anapokea mzigo

Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi 

Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi 

Jimmy Tara anapokea mzigo wake

Amry Masare anapokea mzigo wake

Kazenga ana[pokea mzigo wake

Meneja wa Sprite, Warda Kimaro akizungumza na Waandishi wa Habari katika hafla fupi ya utoaji wa tuzo hizo, Mikocheni, Dar es Salaam, kulia ni Katibu wa TASWA, Amir Mhando na kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma ya Coca Cola Kwanza, Evans Mlelwa (kulia). 

3 comments :

  1. Very energetic article, I liked that bit. Will there be
    a part 2?

    Also visit my webpage - exchnage

    ReplyDelete
  2. Do you mind if I quote a few of your articles as long as I provide credit and sources back to your webpage?
    My website is in the very same niche as yours and my
    users would really benefit from a lot of the information you present here.
    Please let me know if this ok with you. Many thanks!



    Also visit my homepage :: twitter engagement

    ReplyDelete
  3. I do not even know how I ended up here, but I thought this post was great.
    I do not know who you are but definitely you're going to a famous blogger if you are not already ;) Cheers!

    My weblog: twitter supplier

    ReplyDelete